BREAKING NEWZZ.....AJALI MBAYA YA BASI NA LORI ASUBUHI HII LIKITOKEA NJOMBE KWENDA DAR ES SALAAM..LIMEUA
WATU
kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kufuatia ajali iliyotokea
leo ikihusisha basi kampuni ya Luwinzo linalofanya safari zake kati ya
Dar es salaam na Njombe.
Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi amethibitisha kutokea kwa
ajali hiyo na ameiambia Efm kuwa bado wapo eneo la Tukio ili kuweza
kutambua idadi ya watu waliopoteza maisha pamoja na majeruhi.
No comments:
Post a Comment