07 January 2016

SAKATA LA SHAMBA LA WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRIK SUMAYE LACHUKUA SURA MPYA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki amewataka waliovamia na kujigawia maeneo ya watu wengine likiwamo la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Ritha Mlaki waondoke mara moja kwa kuwa wamevunja sheria. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname