07 January 2016

BAADA YA KUSEMA MAGUFULI ANAFUATA ILANI YAO UKAWA SASA WAMKANA KUWA SIO ILANI YAO TENA ONA HAPA LIVE!!

Toka Rais Magufuli ashike madaraka UKAWA wamekuwa wakidai anatumia ilani yao, mpaka bomoa bomoa ilipoanza wameanza kujitenga kwa mbali kwamba sio ilani yao, wananchi wengi wanajiuliza kwamba ni kweli ilikuwa ilani yao toka mwanzo au kuna mtu alichomoa huu ukurasa?

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname