04 January 2016

RAIS MAGUFULI AWA GUMZO KILA KONA,MOTO WAKE WASABABISHA TRA KUMPA PRESHA MASANJA

kazi imepamba moto! Zoezi linaloendelea kufanywa na maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) la kuhakikisha kila mtu analipa kodi inavyotakiwa ili kuipa hazina mapato, sasa limetua kwa mchekeshaji, mwimba nyimbo za Injili na mchungaji, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji,’ tembea na Ijumaa Wikienda.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname