Staa mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Isaac Sepetu.
Imelda mtema
Maneno
kuntu! Staa mwenye nyota ya kipekee Bongo, Wema Isaac Sepetu amefungua
kinywa chake na kusema kuwa endapo Mgombea wa Urais wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa angeshinda kuwa Rais
wa Tanzania katika uchaguzi uliopita, bila hiyana yeye angehama nchi.

No comments:
Post a Comment