02 November 2015

TICHA MJAMZITO ACHOMOKEA DIRISHANI KWENYE DALADALA

CHEZEA kifo wewe! Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwere ya mjini hapa ambaye jina halikupatikana mara moja, akiwa mjamzito, amenusurika kifo baada ya daladala walilopanda kutumbukia mtaroni na yeye kuchomokea kwenye dirishani.  

BOFYA HAPA INAENDELEA

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname