Ziko
habari zimezushwa, kuenezwa na sasa zinakuzwa kuwa mgombea urais wa
CHADEMA na chama kwa ujumla kimefungua shauri Mahakama za Kimataifa,
kuhusu ubakwaji wa demokrasia na hujuma dhidi ya Watanzania uliofanyika
kwenye Uchaguzi (uchafuzi?) Mkuu uliofanyika Oktoba 25.
Itoshe tu kusema kuwa hadi kwa hatua ya s asa habari hizo si za kweli. Ni uzushi.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Itoshe tu kusema kuwa hadi kwa hatua ya s asa habari hizo si za kweli. Ni uzushi.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment