LOWASSA : SAFARI YA awamu ya pili Ikulu INAENDELEA...SOMA ZAIDI
Aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa
amesema awamu ya pili ya safari yake ya kuelekea Ikulu ndio kwanza
imeanza na kuwataka watu wote wanaomuunga mkono kutokata tamaa.
No comments:
Post a Comment