Halfa
ya kuapishwa kwa makatibu wakuu na naibu makatibu wakuu 26 iliyofanyika
jana Ikulu Jijini Dar es Salaam ilikuwa ya aina yake kutokana na kuapa
mara mbili, huku Rais John Magufuli akiwaeleza kuwa asiyeweza kazi
“aseme asile kiapo, akae kando”.
No comments:
Post a Comment