Baada
ya kuanza kwa kasi zoezi la ‘utumbuaji majipu’ katika sekta ya fedha,
mkazo ukiwa zaidi katika kuzuia ukwepaji kodi katika Mamlaka ya Mapato
(TRA) na Mamlaka ya Bandari (TPA) zilizo chini ya Wizara ya Fedha na
Mipango na Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Rais John Magufuli
anajiandaa kushughulikia tatizo la ufisadi katika ngazi ya Halmashauri
za Manispaa na Miji.
No comments:
Post a Comment