ALIYEKUWA Kamanda wa Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam,
Kamishna Suleiman Kova amestaafu rasmi na kuagwa jana huku akikiri kuwa
hatasahau joto la uchaguzi mkuu 2015 lililosababishwa zaidi na mchuano
wa wafuasi wa wagombea urais John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
No comments:
Post a Comment