WATU
watatu wamekufa baada ya basi la abiria lenye namba za usajili T 922
BUW aina ya Yutong mali ya kampuni ya AL- Hushoom, kutumbukia kwenye mto
Lukosi eneo la Msosa, Iyovi, Wilayani Kilosa, mkoa wa Morogoro baada ya
kugonga kingo za daraja na kuparamia miti miwili
No comments:
Post a Comment