03 January 2016

Picha Za Basi Lililotumbukia Mtoni na Kuua+Kujeruhi


WATU watatu wamekufa baada ya basi la abiria lenye namba za usajili T 922 BUW aina ya Yutong mali ya kampuni ya AL- Hushoom, kutumbukia kwenye mto Lukosi eneo la Msosa, Iyovi, Wilayani Kilosa, mkoa wa Morogoro baada ya kugonga kingo za daraja na kuparamia miti miwili 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname