Waziri
wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kushoto) akiongea
na Mchezaji wa Timu ya TP Mazembe Mbwana Samatta(kulia) leo jijini Dar
es salaam.Mbwana amemtembelea waziri Nape ofisini kwake na kuomba
baraka za wizara katika kinyanganyiro cha kugombea uchezaji bora wa
afrika anayechezea ligi za ndani na pia kumpa habari njema za yeye
kutegemea kujiunga na timu ya Ubelgiji ya Genk.
No comments:
Post a Comment