Profesa Jay ambaye ni baba wa mtoto Lissa amekubali kuongea na Soudy Brown kuhusu mwanamke anayetegemea kumuoa kwa siku za usoni na kusema kuwa kama Mungu atajaaliwa anategemea kumuoa Mama Lissa ambaye ni mzazi mwenzake.
105.8 Clouds Fm inasikika ukiwa Songea.
No comments:
Post a Comment