Kabla ya huu mwaka kuisha Linex amewahaidi mashabiki wake kutoa wimbo
mpya ambao utaitwa “unataka ndoa au unataka harusi”. Kupitia interview
aliyofanya na Anna Peter Linex alisema
“Mimi naandika sana, hivyo nina nyimbo nyingi kwahiyo sioni sababu ya
kukaa na nyimbo.” Unaweza sikila interview ya Linex na Anna Peter hapo
chini
No comments:
Post a Comment