Miss
utalii Tanzania 2013, Hadija Mswaga (kushoto) akiingia kwenye Uwanja wa
ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana,
kuelekea Equatorial Guinea kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya
Dunia ya Miss Tourisim World 2013, pembeni ni mshindi wa tatu, Teresia
Kimolo. aliyemsindikiza (Picha na Hosea Joseph)
BARAZA
la Sanaa la Taifa (Basata), limempa karipio kali Mwenyekiti wa shindano
la Miss Utalii, Gideon Chipungahelo kwa kosa la kudhalilisha baadhi ya
washiriki na malalamiko kufanyiwa kazi na Baraza hilo.
No comments:
Post a Comment