Mawaziri wa zamani wakati wa awamu ya Tatu, Basil Mramba (Waziri wa
Fedha) na Daniel Yona (Nishati na Madini) sasa kutumikia kifungo cha nje
hadi Nov. 5 kwa kufanya usafi wa mazingira katika Hospitali ya
Palestina Iliyopo Sinza.
Ikumbukwe Julai 6, 2015 mawaziri hao walihukumiwa kifungo cha miaka
mitatu jela na kulipa faini ya milioni tano kila mmoja kwa kosa la
matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara.
No comments:
Post a Comment