KIJANA Juma
Rajabu mwenye umri wa miaka 15, mwenyeji wa Manyoni mkoani Singida yupo
katika maumivu makali, kufuatia ugonjwa wa ajabu uliompata katika mguu
wake, ambao anadai chimbuko lake hasa ni ajali ya kugongwa na gari
iliyompata wakati akitokea dukani.

No comments:
Post a Comment