03 November 2015

KILICHONIPATA MWENZENU NI MUNGU TU’


Na Makongoro Oging’
KIJANA Juma Rajabu mwenye umri wa miaka 15, mwenyeji wa Manyoni mkoani Singida yupo katika maumivu makali, kufuatia ugonjwa wa ajabu uliompata katika mguu wake, ambao anadai chimbuko lake hasa ni ajali ya kugongwa na gari iliyompata wakati akitokea dukani.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname