22 June 2015

SUPER STAR DIAMOND PLATINUMZ AMPA ZA USO WEMA SEPETU! ACHA USHAMBA!


Dimond: Wema and Her Team Must change- Wema for MP... 
This is Diamond comment on Wema regarding her motives to MJENGONI 
“Swala siyo watu kumvunja moyo ,..ila yeye abadilishe akili ya mambo ya kushabiki migogoro ya watu wengine mitandaoni aache..katia aibu sana jana ,katangaza ubunge na bado ana shadadia ugomvi wa Diamond na Davido ,...mbunge ndo wakuwa na akili hii kweli,...watu wanahasira na upuuzi unaofanya na team yake na bado yeye mwenyewe anachochea ...watu watamuachaje....abadilike kama kweli anataka kugombea ubunge” Wewe mdau unakipi cha kusema hapa.   

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname