Aliyekuwa
mkewe na mbunge wa mbeya mjini Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza
Ally akiwa katika pozi.Mbunge wa Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chama Cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’
amemfikisha kortini aliyekuwa mkewe, Faiza Ally akitaka apewe mtoto
wao, Shaa (2) ili amlee kwa vile mama yake huyo si mwadilifu.22 June 2015
KIVAZI ALICHO VAA MKE WA MBUNGE SUGU CHA SABABISHA APELEKWE MAHAKAMANI
Aliyekuwa
mkewe na mbunge wa mbeya mjini Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza
Ally akiwa katika pozi.Mbunge wa Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chama Cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’
amemfikisha kortini aliyekuwa mkewe, Faiza Ally akitaka apewe mtoto
wao, Shaa (2) ili amlee kwa vile mama yake huyo si mwadilifu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment