24 October 2014

MSIKILIZE HASHIM LUDENGA AFUNGA ZAIDI KUHUSIANA NA SAKATA LA UMRI WA MISS TANZANIA 2014‏

Mkurugenzi wa Lino Angency International Ltd Hashim Lundenga

Hivi karibuni kulifanyika mashindano ya kumsaka mrembo wa Tanzania kwa mwaka 2014 (Miss Tanzania 2014) ambapo Sitti Mtemvu alitangazwa kuwa mshindi.

Baada ya kutangazwa huko, kukawa na mambo mengi yaliyosemwa kumhusu. Kuanzia tetesi za kuwa kadanganya umri mpaka elimu. Kuwa kuna rushwa ilitumika mpaka kusemwa ana mtoto.


Mkurugenzi wa Lino Angency International Ltd Hashim Lundenga, anazungumza na mitandai ya Vijimambo na Kwanza Production kuweka bayanaBOFYA HAPA KUMSIKILIZA >>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname