24 July 2014

DIAMOND KATIKA LEVEL NYINGINE TENA,ATAJWA KUWANIA TUZO ZA TFAAS,KUCHUANA NA YAYA TOURE


Diamond Platinumz anaendelea kuongeza CV katika muziki wake kwenye level za kimataifa baada ya kutajwa Jana kuwa mmoja kati ya vijana wa Afrika wanaowania tuzo kubwa ya The Future Africa Awards& Summit (TFAAS 2014) zitakazofanyika Lagos Nigeria, July 31.
Waandaaji wa tuzo hizo wametangaza vipengele kumi vyenye majina matano katika kila kipengele baada ya kupokea mapendekezo kutoka katika bara zima la Afrika kupitia kamati yake maalum.
Utoaji wa tuzo hizi unatajwa kuwa tukio la pili kwa ukubwa linalohusu vijana kaika bara la Afrika.inaendelea hapa>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname