Rais
mstaafu wa awamu wa tatu Mh Benjamin Mkapa amefanya ziara kutembelea
shule ya msingi ya Manyara Ranchi inayofadhiliwa na shirika la kimataifa
la uhifadhi wa wanyamapori la African Wildlife Foundation Wilayani
Monduli. Mzee Mkapa ni Makamu Mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao
yake mjini Washington Marekani. picha mbalimbali zinamuonesha Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais
Mkapa kuzuru shule hiyo.
Waziri Mkuu Mstaafu na
Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza Mzee Mkapa Waziri Mkuu
Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akiagana na Mzee Mkapa
NA: RWEYEMAMU BLOG
imependeza sana. Tudumishe upendo watanzania ndo chachu ya mafanikio
ReplyDeleteTanzania tumetoka mbali sana jamani mpaka sasa tulipo inabidi tujipongeze kwa amani tuliyokuwanayo.
ReplyDeleteTuipongeze selikari yetu iliyo madarakani kwa makubwa iliyo fanya, tuachane na viongozi wagombanishi na wasiopenda amani iendelee.
Tujenge nchi yetu kwa selikari imara na wananchi waliojaa upendo na ukarimu.
Amani ndio jambo la msingi hasa kwa mtu yeyote yule anayependa maendeleo katika shughuli zake. Namalizia kwa kusema selikari mbili ndio mhimili mkubwa na wenye kupunguza gharama kwa watanzania tuachane na viongozi wanaopenda maslahi yao.
Amani idumu kwa kula mtanzania