Vipo
vingi vya kuviletea mazoea, lakini sio simba ndugu yangu, hata
wataalamu wa masula ya wanyama wanasema nidhamu ni kitu muhimu unapokuwa
ndani ya hifadhi, tabianchi blog

Sasa
watalii kadhaa waliona wanaweza kujiachia tu na kumchokoza simba
kilichowakuta sidhani kama watarudia tena, kwa wale watu wa kanda ya
ziwa ukisikia nenno kama 'kabili
ng'wanza!' unaweza kuelewa.
ng'wanza!' unaweza kuelewa.
Nisiseme sana shuhudia simba wa jangwani alivyowavamia watalii hawa huko Namibia.Chanzo Tabia Nchi Blog










The lion smashed one of the windows…

…and made a mess of the paint and bodywork with his claws

No comments:
Post a Comment