12 March 2014

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU CHA DODOMA (ADMINISTRATIVE STAFF)

Chuo Kikuu cha Dodoma kinawatangazia waombaji wa kazi mbalimbali kuwa usahili wa kuandika utafanyika Jumamosi ya tarehe 8 Machi, 2014 na Jumapili ya tarehe 9 Machi, 2014. Usahili huu utafanyika kuanzia saa tatu asubuhi katika kumbi za mihadhara ya Skuli ya Sanaa na Lugha kama ifuatavyo:
Jumamosi tarehe 8 Machi 2014
1. Maafisa Rasilimali Watu na Tawala
2. Maafisa Mipango 
3. Madereva 
4. Wahudumu 
5. Makatibu Muhtasi 
6. Wahudumu wa Afya

Jumapili tarehe 9 Machi 2014
1.Wahasibu Wasaidizi 
2.Wakaguzi wa Ndani Wasaidizi 
3.Watunza Kumbumbu Wasaidizi
4.Wasimamizi wa Mifumo ya Kompyuta Mtandao 
5.Wasimamizi wa Maabara

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname