ELIZABETH
Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kwa sasa hateswi na kumbukumbu ya tukio
la marehemu Steven Kanumba kama ilivyokuwa zamani.
Alipobanwa kuhusu kusumbuliwa na Kanumba aliyekuwa mpenzi wake, Lulu alisema:“Imeshapita muda mrefu sasa, kama binadamu namkumbuka lakini siyo kama kipindi kile, ilikuwa picha ikinirudia mara kwa mara, hata hivyo sipendi sana kuzungumzia haya,” alisema.
Marehemu Steven Kanumba
No comments:
Post a Comment