Stori: Andrew Carlos
MKALI wa wimbo wa Mafungu ya Nyanya, Mwanaisha Said ‘Dyana’ amewataka
wasanii wa kike chipukizi kuacha kuogopa kutongozwa kwani uamuzi
unabaki kuwa kwao.
|
Mwanaisha Said Nyange ‘Dayna’.
“Namshukuru Mungu mpaka hapa nilipofikia. Vikwanzo ni vingi hususan kwa waimbaji wa kike lakini nawashangaa wale ambao wanakata tamaa ya kuendelea kuimba kisa kutongozwa. Wasiogope,” alisema Dayna ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wa Mimi na Wewe
No comments:
Post a Comment