12 March 2014

ANGALIA PICHA MWANAMKE ALIYECHEZEWA MCHEZO NA KUOLEWA ILI APATE UKIMWI, DAKTATI AHUSIKA

Na Chande Abdallah 
UKISIKIA simulizi ya Hafsa Ramadhani (19) itakutia simanzi, itakutesa moyo na kukutoa machozi, huwezi kuamini aliingia kwenye ndoa bila kujua kuwa alikuwa akienda kukutana na 
ugonjwa wa ukimwi, Risasi Mchanganyiko linakufunulia.
Habari kutoka chanzo chetu cha kuaminika zinasema, binti huyo alifanyiwa mipango ya ndoa bila yeye na mumewe huyo kupima kwanza maambukizi ya ugonjwa huo, ingawa tahadhari hiyo ilitolewa mapema kwa kuwa muoaji alikuwa akijulikana kuwa aliishi na ugonjwa huo kwa muda mrefu.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname