07 November 2013

HUYU NDO MSANII WA BONGO FLEVA ANAYEONGOZA KWA KUVAA VIZURI NA KUPENDEZA BONGO.


 Jux ndie Msanii anaeongoza kwenye uvaaji wa Brand kali maarufu na zinampendeza, wapo wengi ambao wanavaa vizuri lakini Jux kwa Tanzania ni namba moja ukitaka kujua hilo jaribu kufatilia kwa makini utapata jibu. Hizi ni baadhi ya Picha zikimuonesha Jux katika muonekano tofauti tofauti.


















UTAFITI WA TIMU NZIMA YA TheChoice  UMEBAINI HUYU NDO MSANII ANAYE ONGOZA KWA KUVAA VIZURI NA KUPENDEZA KWA WASANII WA BONGO

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname