18 October 2013

WALIOWEKA BANGO LA PICHA YA SANAMU YA YESU NA KUMCHORA TATTOO NCHINI MAREKANI KUKAMATWA NA KUFIKISHWA MAHAKAMANI,


Licha ya kwamba Hata watu ambao wameweka bango hilo kujitetea na kudai kwamba wamechora na kuliweka kwa nia nzuri ili kuwahubiri watu waende kwake na kusafishwa dhambi zao lakini mashirika ya kikristone nchini humo wameapa kuchukua hatua za kisheria kwa wahusika wote waliidhalilisha picha hiyo ya Yesu.



Bango hilo limeandikwa address ya tovuti ambayo ina video inayoonesha watu wanaenda kwa Yesu na wanasafishwa dhambi zao.
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname