Meneja
Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu (kushoto)akionesha moja
ya namba ya simu ya mshindi
wa Promosheni ya"MAHELA"aliejishindia kitita cha shilingi Milioni 5 katika promosheni hiyo inayoendelea kuchezeshwa na kampuni hiyo,katikati ni Msimamizi wa Michezo ya kubahatisha nchini Abdallah Hemedy,anaeongea kwa simu ni Mkuu wa kitengo cha huduma za ziada na Mtandao wa Vodacom Tanzania Bw.Charles Matondane.
wa Promosheni ya"MAHELA"aliejishindia kitita cha shilingi Milioni 5 katika promosheni hiyo inayoendelea kuchezeshwa na kampuni hiyo,katikati ni Msimamizi wa Michezo ya kubahatisha nchini Abdallah Hemedy,anaeongea kwa simu ni Mkuu wa kitengo cha huduma za ziada na Mtandao wa Vodacom Tanzania Bw.Charles Matondane.
.Mkuu
wa kitengo cha huduma za ziada na Mtandao wa Vodacom Tanzania
Bw.Charles Matondane akiongea kwenye simu na mmoja wa washindi
aliejishindia shilingi Milioni 5 katika Promosheni
ya"MAHELA"inayoendeshwa na kampuni hiyo,kutoka kushoto ni Meneja
Uhusiano wa kampuni hiyo Bw.Matina Nkurlu na Msimamizi wa Michezo ya
kubahatisha nchini Bw.Abdallah Hemedy.Zaidi ya shilingi Milioni 400
zinaendelea kushindaniwa.