SIRI YAFICHUKA WANANCHI KUGAWANA SHAMBA LA WAZIRI MSTAAFU FREDRICK SUMAYE, MAKONDA NA SUMAYE WAFUNGUKA
Wananchi waliokumbwa na ‘bomoabomoa’ katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam wamevamia shamba la waziri mkuu wa zamani, Frederick Sumaye lenye ukubwa wa hekari 33 lililopo katika eneo la Mji mpya, Mabwepande na kujigawia maeneo.
No comments:
Post a Comment