NJAA KALI! Wadada wanaojihusisha na biashara ya kuuza miili yao maarufu
kama machangudoa, wameibuka na kupaza sauti kuwa kasi ya Rais John
Magufuli ikiwa ni pamoja na kukomesha ufisadi kwa staili ya kutumbua
majipu, imewanyoosha kwani wateja sasa wameanza kuadimika.
No comments:
Post a Comment