DIAMOND PLATINUMS NA ROMY JONES NGOMA NZITO.WATIBUANA MBAYA,MAZITO YAFICHUKA,
Kimenuka!
Mbongo-Fleva mwenye taito kubwa Afrika kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond
Platnumz’, anadaiwa kutibuana na kaka yake, Romy Jones ‘Romy Jons’,
kiasi kwamba hata mawasiliano ya simu hayapo kama ilivyokuwa zamani.
No comments:
Post a Comment