WIZARA ZA MALIASILI NA UTALII, TAMISEMI NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRA KUANZISHA PROGRAMU YA UPANDAJI MITI
Waziri
wa Maliasili na Utalii Mhe. Prof. Jumanne Maghembe akizungumza kwenye
kikao cha pamoja kati yake na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Mazingira na Muungano Mhe. Januari Makamba (kulia) leo tarehe 29 Desemba
2015 katika ukumbi wa Selous Makao Makuu ya Wizara ya Maliasili na
Utalii Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuipa majukumu Kamati Maalum
ya Wataalam ya kutengeneza andiko maalum litakalotumika kuandaa Programu
ya pamoja ya kitaifa ya upandaji miti nchi nzima kuanzia mijini hadi
vijijini kwa lengo la kuhifadhi na kuendeleza mazingira ikiwemo misitu.
Kwa mujibu wa Prof. Maghembe Kamati hiyo imepewa wiki mbili kukamilisha
kazi. Mpango huo utashirikisha pia Wizara ya TAMISEMI.
SOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment