Naibu
Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline
Mabula (Mb), akiangalia mafaili ya kesi mbalimbali katika Baraza la
Ardhi na Nyumba la Kinondoni, jijini Dar es salaam, alipofanya ziara ya
kushtukiza katika Baraza hilo, kulia kwake ni karani wa baraza hilo,
Bahati Rashidi.
No comments:
Post a Comment