30 December 2015

SAKATA LA MAKONTENA ,WAFANYABIASHARA WAKUBWA WATAJWA,WATAKIWA KUJISALIMISHA MARA MOJA

Unaweza kusema hawajakoma kutokana na vitendo vya ukwepaji kodi kuzidi kuibuliwa katika Bandari ya Dar es Salaam katika kipindi ambacho Rais John Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wanachukua hatua dhidi ya upotevu wa makontena bandarini. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname