Hatimaye
mchuano wa uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia
Chama Cha Mapinduzi (CCM) umechukua sura mpya baada ya vigogo kadhaa
kutemwa wakiwamo spika wa zamani, Samwel Sitta na aliyewahi kuwa Waziri
wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi.
No comments:
Post a Comment