16 November 2015

YAFICHUKA HII NDIO SABABU YA Sitta, Nchimbi kukatwa uspika.

Hatimaye mchuano wa uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) umechukua sura mpya baada ya vigogo kadhaa kutemwa wakiwamo spika wa zamani, Samwel Sitta na aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname