NAMNA SITTA ALIVYOKATWA USPIKA WA BUNGE...SOMA HAPA
MKONGWE
wa siasa ambaye aliyekuwa Spika wa bunge la tisa, Samuel Sitta ambaye
alikuwa wakiwania nafasi ya uspika katika Bunge la 11, Kamati Kuu ya
(CCM) imelikata rasmi jina lake licha ya kufanya kampeni mapema juzi
kwenye viwanja vya Bunge
No comments:
Post a Comment