13 June 2013

BREAKING NEWS : MSANII WA HIP HOP NCHINI LANGA KILEO AMEFARIKI DUNIA.


Habari zilizonifikia sasa hivi punde kutoka kwa ndugu wa karibu wa Langa zinasema ndugu yao Langa amefariki katika hosp kuu ya Muhimbili kwa kuumwa Malaria. Habari kamili zitawajia kwa jinsi nitakavyokuwa napewa updates. MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname