Aliyekuwa
mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward
Lowassa, ameeleza sababu za kutokubaliana na ushindi uliomuweka
madarakani mpinzani wake kupitia CCM, Dk. John Magufuli katika uchaguzi
mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
No comments:
Post a Comment