Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongea na waandishi wa habari
mara baada ya Wabunge wa CCM kupitisha jisha la Spika.
Katibu wa NEC (CCM) Itikadi na Uenezi ambaye pia ni mbunge wa Mtama, Nape Nnauye alisema “Kamati ya Wabunge wote wa CCM imekamilisha kazi yake ya kwanza kuchambua na kupitisha moja kati ya majina matatu yaliyoteuliwa na Kamati Kuu.
“Kama tulivyoona wagombea wawili walijitoa, hivyo Job Ndugai
amepitishwa kwa kauli moja kugombea nafasi ya uspika. Tunamuombea kura kwa
sababu sifa zote anazo, bila shaka hakutatokea mgombea wa upinzani atakayezidi
sifa zake,” alisema Nape.
No comments:
Post a Comment