RAIS MAGUFULI ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI WA UFARANSA NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika
Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia vifo vya Watu zaidi 130
vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
No comments:
Post a Comment