18 November 2015

KOBE 201 WALIOKUWA WAKISAFIRSHWA NJE YA NCHI WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA J.K NYERERE


Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt.
Adelhelm Meru akikagua mabegi matano yenye Kobe 201 yaliyokamatwa usiku wa
kuamkia leo na askari wanyamapori kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na
usalama katika uwanja wa Kimataifa wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname