Leo mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda alikutana na wafanyakazi wa kiwanda hicho, Dar es salaam na kufanya mazungumzo nao ikiwa kusikiliza kero zao, kisha kufikia muafaka wa wao kurudi kazini na kuendelea na shughuli kama kawaida.
Amesema atakutana na Rais Dk. John Magufuli ili kuweza kumweleza matatizo ya wananchi wa Wilaya yake na kulitafutia ufumbuzi.
SOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment