18 November 2015

DC PAUL MAKONDA AKUTANA NA WAFANYAKAZI WA URAFIKI


Wiki iliyopita wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha urafiki walifanya mgomo kwa madai ya kutolipwa mishahara yao kwa muda mrefu
Leo mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda alikutana na wafanyakazi wa kiwanda hicho, Dar es salaam na kufanya mazungumzo nao ikiwa kusikiliza kero zao, kisha kufikia muafaka wa wao kurudi kazini na kuendelea na shughuli kama kawaida.
Amesema atakutana na Rais Dk. John Magufuli ili kuweza kumweleza matatizo ya wananchi wa Wilaya yake na kulitafutia ufumbuzi.

SOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname