21 November 2015

Mamlaka ya Anga nchini Swaziland yapiga marufuku wachawi kuruka angani zaidi ya umbali wa mita 150

 

Serikali ya Swaziland, Imepiga marufuku wachawi kuruka zaidi ya umbali wa mita 150. atakaye kiuka amri hii iliyotolewa na mamlaka ya anga, atapigwa faini ya randi R500,000 (35,487) zaidi ya mil 80 za Kitanzania. Mara nyingi wachawi wa Swaziland wamekua wakiruka Usawa wa Helcopter kitu ambacho kinachanganya Mamlaka ya anga.

Kitendo hiki wachawi wamekilalamikia wakisema kwamba ni uonevu. wanahoji kwanini iwe sasa? Je walishawahi gonga Boeing?

Wakati huo huo Waganga wa kienyeji wa Romania wameangukiwa na rungu la kulipa kodi kubwa ili kuchangia bajeti ya Serikali kitendo ambacho Mkuu wa Sangoma hao amelalamikia kwamba ni Uonevu na kaahidi kuiroga Serikali isahau kuwalipisha Kodi hata ikikumbuka imsahau yeye tu. Baadhi ya Wachawi wameshukuru kitendo cha kulipishwa kodi kwani wanaamini sasa kazi yao imetambulika rasmi.

 
Swaziland has launched a crackdown on high-flying witches after banning them from hovering above 150metres.


It has been a long time since witches were burnt at the stake in Europe but the accusation remains a serious one in the landlocked African country.

Anyone caught flying their broomstick above the height limit faces arrest and a hefty R500,000 fine, the country?s civil aviation authorities said this week.

A witch on a broomstick should not fly above the [150-metre] limit,? corporate affairs director Sabelo Dlamini told The Star.

The new aviation law was highlighted after a private investigator was caught flying a helicopter equipped with a video camera to gather surveillance information.

Witchcraft is taken seriously in Swaziland where many people believe in the power of black magic.

Last year a leading Swazi MP called for a hike in tax paid by witch doctors to help ease the cash-strapped country?s financial woes.

It begs the question, why now? Was there a mid air collision between a witch and a Boeing? We all know there wasn?t so I wonder why they've decided to make it illegal now? Terrifying

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname