21 November 2015

KIMENUKA..Kinje Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Tuhuma Anazozushiwa na Mange Kimambi Kuwa Anajihusisha na Uuzaji wa Madawa ya Kulevya



Kinje Akiwa na Familia yake...
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Kinje ambaye ni mtoto wa Mwanasiasa Maarufu Tanzania Ameamua Kumjibu Mange Kimambi Ambaye Mara Kwa Mara Amekuwa Akimtuhumu kuwa Anahusika na uuzaji wa Madawa ya Kulevya....

Kinje Ameandika Haya:

"Poor you @mangekimambi_ ,let me tell you something Serikali ya Tanzania itaanza nawewe na hao wanaokutuma ili Upoteze Jamii Maboya, wanaokutuma wengine ni familia yako so @mangekimambi_ unaweza kundangaya watu wachache tu Lakini ukweli ni kwamba Wewe Unatumwa Na wahusika wakuu WA madawa ya kulevya ili Upoteze lengo Lkn Serikali ya awamu ya 5 haidanganyiki na itakunyorosha Wewe Na hao wanaokutuma...Alafu as I told you last time Peleka ushaidi wako kwenye kitengo Cha madawa ya kulevya Tanzanian Na Kama uwezi hapo USA wapi CIA,DEA Na FBI you can give them your evidence Other wise shut the fuck off and leave me Alone..| Kinje

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname