Kamati
Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti wake Dkt Jakaya
Mrisho Kikwete imepitia, imejadili na kupitisha majina ya wana-CCM
watatu kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania.
Kamati Kuu imewateua;
1. Mhe Job Ndugai
2. Mhe Abdullah Ali Mwinyi.
3. Dr Tulia Ackson Mwansasu.
Majina hayo matatu yatapigiwa kura kesho tarehe 16th Nov 2015 katika kikao cha wabunge wa CCM ili lipatikane jina moja ambalo litapelekwa na Chama kwenye uchaguzi wa Uspika Bungeni.
Kamati Kuu imewateua;
1. Mhe Job Ndugai
2. Mhe Abdullah Ali Mwinyi.
3. Dr Tulia Ackson Mwansasu.
Majina hayo matatu yatapigiwa kura kesho tarehe 16th Nov 2015 katika kikao cha wabunge wa CCM ili lipatikane jina moja ambalo litapelekwa na Chama kwenye uchaguzi wa Uspika Bungeni.
No comments:
Post a Comment