WAZIRI wa Maliasili na Utalii na mgombea ubunge wa Jimbo la Singida
Kaskazini, Lazaro Nyalandu, akiingia kuzindua rasmi kampeni zake katika
Uwanja wa Mtinko huku akisindikizwa na msafara mkubwa wa bodaboda.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii na mgombea ubunge wa Jimbo la Singida
Kaskazini, Lazaro Nyalandu, akisoma bango lenye ujumbe wa kumpongeza
lililoandaliwa na wananchi wa Kata ya Mntiko, wakati wa uzinduzi wa
kampeni zake za ubunge.
No comments:
Post a Comment