Mkurugenzi wa Mipango miji na
Vijiji Dk,Mohd Juma mwenye suti akionesha ramani zilizopigwa zamani kwa
kutumia ndege katika Uzinduzi wa Kifaa cha kupigia picha Video Camera
Eroplain(Drone) kwa ajili ya kupata ramani mpya na kufikia malengo ya
kutoa huduma kwa Dijital zanzibar.
Afisa Mipango miji wa Manispaa ya
Kinondoni Daresalaam Deogratias akiwa na kifaa cha kupigia picha Video
Camera Eroplain(Drone)cha masafa marefu katika uzinduzi wa kifaa hicho
mnazi mmoja zanzibar.
No comments:
Post a Comment